Kurunzi ya Insha Darasa la 6, 7 & 8


KCPE Kurunzi ya Insha Darasa la 6,7 na 8 ni kitabu kinachofumbua fumbo ambalo limempiga chenga mwanafunzi wa darasa la 6, 7 na 8 kwa muda mrefu. Kitabu hiki ni mwangaza unaompa mwanafunzi ujuzi na upevu wa kuandika kila aina ya insha kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya 2002. Kitabu hiki ni kito kwa mtahiniwa anayejiandaa kuukabili mtihani wa KCPE kwa kumdondolea hoja muhimu pekee, kumtathmini na kumwelekeza jinsi ya kuandika tungo maridhawa na zinazovutia ili azoe alama nyingi zaidi anapoandika insha.   

KES 754
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010127000477
Author J.Mwamburi ,H.Indindi
ISBN 9789966002525
Publisher Spotlight
SKU2010127000477

Reviews

Leave a product review
or cancel