Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 4


Kurunzi ya Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 4 ni kitabu kilichoandaliwa kwa ustadi ili kumrahisishia mwanafunzi uelewa wa mfumo mpya wa elimu wa umilisi. 
Sifa za kitabu hiki: 
- Maswali yote ya Tathmini na Majaribio yanafuata muundo na ruwaza ya sasa
ya Baraza la Kutunga Mitihani Kenya (KNEC); hivyo yanampa mwanafunzi
sura kamili ya tathmini ya shuleni na kitaifa
. kinafuata kikamilifu mfumo mpya wa umilisi.
. Kina majaribio tosha ya mwisho wa kila muhula.
. Kina tathmini ya mwisho wa mwaka inayotathmini kuafikiwa kwa malengo ya mwaka mzima.
. Maswali yana michoro na picha za kuvutia kurahisisha uelewa wa mada lengwa.
. Majibu ya Mazoezi yote yapo mwishoni mwa kitabu hiki. Majibu haya yanamlenga mwanafunzi, mzazi au mlezi na mwalimu.

KES 458
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPCBK00000001599
Author Matei, Mwamburi, Wangome and Atulo
ISBN 9789966572707
SKUBK00000001599

Reviews

Leave a product review
or cancel