Longhorn Mwanga wa Kiswahili Grade 7 (Approved)

by Longhorn


Hiki ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi, umahiri mkubwa na kwa lugha ya kiwango cha mwanofunzi wa gredi ya saba. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali.

ISBN: 9789966643759 SKU: BK00000007969
KES 667
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect