Mchezo wa mtelezo na hadithi nyingine
Mwalimu mkuu anawashauri wanafunzi kwenda nyumbani mapema kwani shule yao itatumiwa kugawa chakula cha msaada. Hata hivyo, baadhi ya wanafunzi wanakiuka ushauri huo. Wanajiingiza katika mchezo wa mtelezo kwa muda mrefu. hawajali athari za kushindana na kutumbukia mjini
KES 290
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect