Mikosi na Heri


Mikosi na Heri ni mkusanyiko wa hadithi saba zenye mafunzo bora maishani. Kitabu hiki kinawalenga wanafunzi wa darasa la sita. Baadhi ya mada ambazo zimezingatiwa na mwandishi ni utiifu, uadilifu, kusema ukweli kila mara, busara maishani na mengineyo. Msomaji wa hadithi hizi pia atapata fursa ya kujifunza lugha ya Kiswahili kwa urahisi.   

KES 174
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000044
Author Geoffrey Levi Shimanyula
ISBN 2010143000044
Publisher KLB
SKU2010143000044

Reviews

Leave a product review
or cancel