Mikosi na Heri

by Geoffrey Levi Shimanyula


Mikosi na Heri ni mkusanyiko wa hadithi saba zenye mafunzo bora maishani. Kitabu hiki kinawalenga wanafunzi wa darasa la sita. Baadhi ya mada ambazo zimezingatiwa na mwandishi ni utiifu, uadilifu, kusema ukweli kila mara, busara maishani na mengineyo. Msomaji wa hadithi hizi pia atapata fursa ya kujifunza lugha ya Kiswahili kwa urahisi.   

ISBN: 2010143000044 SKU: 2010143000044
KES 174
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect