Pesa za Suki
Suki ni mwanafunzi wa darasa la sita. Alikuwa akijiwekea akiba ili anunue kitabu cha picha za wanyamapori wakati wa likizo.
Kabla ya siku ya kwenda kununua kitabu kufika, tukio la ajabu linatokea. Mwizi anaingia nyumbani kwa kina Suki na kuiba
kisanduku cha Suki cha kuhifadhia pesa na vitu vingine. Askari polisi wanaarifiwa kuhusu wizi huo, lakini hawafanikiwi
kumkamata mwizi. Suki anaamua kufanya upelelezi ili ajue ni nani aliyeiba kisanduku chake. Je, atafanikiwa?
KES 342
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect