Safari


Tamthilia ya Safari inamulika chombo na abiria katika hadubini pevu ya kujitanzua. Watumaini walipogharikiwa, hawakuyaanika matambara yao ili yanyonyote na kukauka na sasa kuna fondogoo kiamboni. Kule nje, hujuma za viwavi zimeathiri mandhari pakubwa nao wakulima wamekula mbegu. Baada ya Mahiri kung'atuka, Daktari anaandaa hafla ya kifahari ili kuyasanifu mambo. Je, Watumaini watasafiri?

KES 507
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Omwaka
ISBN 9966223894
SKU2010143000270

Reviews

Leave a product review
or cancel

Products you recently viewed