Walenisi


Walenisi ni riwaya inayomswairi Dzombo katika siku zake za hukumu. Dzombo anahukimiwa kifo kwa sababu ya hatia bandia. Anang'oa nanga katika Sayari, chombo kinachopaswa kumwua kwa ghafla. Hata hivyo, badala ya kummmaliza, chombo kinamwepusha na hukumu hiyo, na hatimaye kumpeleka katika ulimwengu tofauti na autokao. Anayoyaona huko ni ya kushangaza lakini yenye matumaini. Je Dzombo atarejea kwao? Na akirudi atakuwaje?  

KES 600
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Mkangi
ISBN 9966467165
SKU2010143000163

Reviews

Leave a product review
or cancel