Werevu wa Juma 2c


Werevu wa Jumo 2c ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo wa kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Pili katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

  • Masimulizi rahisi ya hadithi.
  • Hadithi mbili zenye kufunza utumiaji wa akili.
  • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia vichekesho, mafumbo na sentensi fupifupi.
  • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira tofauti tofauti.
KES 249
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author A.S .Yahya
ISBN 9780195730609
SKU2010143000150

Reviews

Leave a product review
or cancel