Jinsi Chui Alivyopata Madoadoa


Vitabu vya Nyota vimetungwa maksudi ili viwawezeshe wanafunzi katika Afrika Mashariki 
kujifunza lugha ya Kiswahili katika hali ya kuburudisha. Kuna mengi ya kujifunza, 
toka lugha, yaliyomo na hata mitindo tofauti iliyotumiwa. Watoto watajifunza haya yote.
Jinsi Chui Alivyopata Madoadoa ni mkusanyiko wa hadithi fupi. Katika hadithi hizi, 
tunasimuliwa juu ya asili ya matukio fulani fulani na yale yaliyotendeka kuyafanya yawe yalivyo leo. 
Kitabu hiki kimenuiwa kusomwa na wanafunzi wa Darasa la Tatu, la Nne na la Tano.
 

KES 294
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000180
Author Kola
ISBN 2010143000180
SKU2010143000180

Reviews

Leave a product review
or cancel