KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved)

by WANDERA


KLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano. 
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha. 
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji. 
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani. 
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.

ISBN: 9789966656704 SKU: BK00000002063
KES 418
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

Average rating: 4

from 1 review

5 0 five star reviews
4 1 four star review
3 0 three star reviews
2 0 two star reviews
1 0 one star reviews
Add your review

John reviewed on 18 Aug 2021

Mali safi

Just as I ordered, though it took a little bit longer to deliver, but there was clear communication as to why the delays happened. Well packed, and thank you for the good service. My girl is happy now, in her studies and I am a happy father. I'm going to keep shopping with you guys, sadakta.

Add your review