Mkola atembelea Mbuga za Wanyama


Vitabu vya Sayari vimenuiwa kuwaongezea wanafunzi maarifa ya kusoma na kuielewa lugha ya Kiswahili huku vikiwafanya 
wajimudu katika kuizungumza lugha hii.
Vimekusudiwa kusomwa na wanafunzi wa Darasa la Sita, Saba na la Nane katika shule za msingi za Afrika Mashariki. 
Kwa kuwa hawa ni wanafunzi waliokomaa, lugha katika mfululizo wa vitabu hivi imepevushwa ili kuwatayarisha kwa mitihani.
Wanafunzi wengi hutamani kutembelea mbuga za wanyama wa pori ili kujionea wanyama wa aina mbalimbali. Hivi ndivyo 
alivyokuwa Mkola. Alipoipata nafasi hii baada ya kujaribu juu chini, alifurahi kweli kweli.
 

ISBN: 0 SKU: 2010143000358
KES 313
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect