Ningekuwa na Uwezo


Haya ni baadhi ya maswali yanayowakereketa wananchi na viongozi wa Afrika leo. Mwandishi wa Ningekuzva na Uwezo anayapigia darubini maswali haya na mengine na kutusawiria namna Mwafrika asiyejiamini, asiyejijua wala kujithamini, anavyoweza kutapatapa kwenye "bara la giza". Je, awachwe katika hali hiyo au ashauriwe, aamshwe, na aonyeshwe kuwa anao uwezo wa kujimudu? Na yule atakayefanya hivyo yuko wapi? Je, uwezo huo anao? 

KES 551
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Mkangi
ISBN 9780195734751
SKU2010143000592

Reviews

Leave a product review
or cancel