Shetani Msalabani


Shetani Msalabani ni hadithi ya wazalendo wanne: Wariinga, msichana aliyenyanyaswa sana na vibaraka wa wabeberu; Wangari, mkulima mdogo aliyetaabishwa na mabepari; Muturi,mfanyi kazi mwerevu; na Gatuiria, kijana aliyeelimika sana. Wote wanasafiri kwa matatu ya jambazi moja linaloitwa Mwauraandu ambalo limeajiriwa na mabepari kutaabisha na kunyanyasa jamii.

KES 692
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000599
Author Ngugi Wa Thiong'o
ISBN 9789966461674
Publisher EAEP
SKU2010143000599

Reviews

Leave a product review
or cancel