Storymoja: Uamuzi wa Wanyama

by Hillary Namunyu


Kwa miaka na mikaka, wanyama katika msitu wa Ngome wameishi kwa amani. Mfalme Simba  anaandaa karamu ya kusherehekea urafiki baina ya wanyama. Hata hivyo, karamu inakatizwa wanyama wanaposhambuliwa kwa vijiti kutoka
angani. Baadhi ya wanyama wanakufa. Wanyama wanaosalia wanalazimika kupambana na adui wasiyemfahamu. Vita vinabadili vipi uhusiano miongoni mwa wanyama?

ISBN: 9789966622587 SKU: BK00000003191
KES 350 KES 420
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect