Damu ya Simba
by Story Moja
Bata Kwekwe ni mwoga wa kupindukia hadi wenzake wanamdhihaki. Anapotumwa na mamaye shambani, mabata wenzake wanamzuia njiani na kumnyang'anya kikapu. Anatoroka na kukutana na Nyoka jasiri. Je, Nyoka anamsaidia vipi kuibua sifa ya ujasiri?
KES 400
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC | 2010143001016 |
---|---|
Author | Muchemi |
ISBN | 9789966621207 |
SKU | 2010143001016 |