Makovu ya Uhai
ISBN: 9789966140227 SKU: 2010143001105
Reviews
Average rating: 5
from 2 reviews
5 |
2 five star reviews
|
---|---|
4 |
0 four star reviews
|
3 |
0 three star reviews
|
2 |
0 two star reviews
|
1 |
0 one star reviews
|
Shisia reviewed on 24 Apr 2021
Makovu Ya Uhai
A well woven swahili novel that tries to answer some of the contemporary issues in the society.
Shisia reviewed on 28 Apr 2021
Makovu Ya Uhai
Misururu ya masaibu yanayomwandama Daudi Marefu ni tele. Anapoibuka kwa hili anazamishwa kwa lile. Ndoa yake inatibuka. Anapigwa kalamu. Anapodhani kuwa nyota ya jaha imemwangazia, mwanawe wa pekee anafariki dunia. Haya ni masuala mazito kumkabili mtu mmoja kwa mkupuo. Kwanini mwanadamu hupitia mitihani maishani? Kwanini ndoa zinavunjika ndivyo sivyo? Mwandishi anajaribu kuyajibu masuala yale kupitia matukio aliyoyasuka kwa umbuji kwenye kazi hii; Makovu ya Uhai