MTP Mazoezi ya Kiswahili Gredi ya 3 (Approved)
Boada ya kukitumia hiki kitabu, mwanafunzi ataweza:
- Kutumia mbinu zifaazo za usikivu katika mawasiliano katika mazingira yoke.
- Kudhihirisha ufasaha wa kuzungumza kwa kiswahili.
- Kusoma kwa ufasaha na kufahamu aina zozote za maandishi ya Kiswahili.
- Kuelezea mawazo, hisia na tajiriba kwa maandishi ya mkono au mbinu nyingine yoyote ya uwasilishaji.
- Kutumia sarufi ipasavyo katika mawasiliano.
- Kutumia msamiati ufaao katika mazingira yake kuwasiliana.
- Kuonyesha ukakamavu katika kuwasilisha masuala yanayomkabili na yonayokabili mazingira yake
KES 342
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC | 2010127000731 |
---|---|
Author | MTP |
Weight (kg) | 0.3 |
SKU | 2010127000731 |